
Wafuasi wa Ukawa wakishangilia. Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji...

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji
akisalimiana na mfuasi wa Ukawa wakati alipowasili katika mkutano wa
kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.

Mfuasi wa Ukawa akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.


Mgombea ubunge wa Ukawa jimbo la Mtama, Suleiman Mathew
kupitia Chadema akiwa amebebwa juu na wafuasi wake wakati akiingia
katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Sokoni mkoani
Lindi uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni
Haji.Picha na Francis Dande
No comments:
Post a Comment