KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala.
Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni za urais wa mgombea wa chama chake Dk. John Magufuli Kigoma.
“Serikali
imefanya makosa mengi na Chama Cha Mapinduzi kimefanya makosa mengi
lakini hakitofanya kosa la kuruhusu chama pinzani kuingia Ikulu,” alisema Bulembo.

No comments:
Post a Comment