
Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanual Mbasha (32), leo ameangua
kilio baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala huku mke
wake, Flora amesema yuko tayari warudiane endapo ataomba radhi.
Mbasha alimwaga chozi muda mfupi baada ya kutoka katika chumba cha
Mahakama alipopandishwa kizimbani kusomewa hukumu.
Mshtakiwa huyo ameachiwa huru dhidi ya kesi ya ubakaji iliyokuwa...
No comments:
Post a Comment