Manchester ndio walikuwa wa kwana
kupata goli kupitia kwa Juan Mata dakika ya 48 kipindi cha pili
akiunganisha pasi kutoka kwa Luke Shaw lakini bao hilo halikuumu kwani
dakika ya 61 Ayew aliisawazishia Swansea na kuufanya mchezo kuwa sare
kwa goli 1-1.
Gomis akaipa ushindi Swansea kwa
kuifungia goli la pili dakika ya 66 na kuifanya timu yake ichomoke na
pointi tatu muhimu kwenye uwanja wa nyumbani Liberty Stadium.
Man U inakuwa kigogo cha tatu
kupoteza mchezo wake bada ya jana Chelsea na Liverpool kubanwa mbavu na
kupokea vipondo kwenye mechi zao.
No comments:
Post a Comment