Azam ndiyo ilikuwa ya kwanza
kupata bao dakika ya 12 kupitia kwa Kelvin Friday lakini Ndanda
walisawazisha goli hilo dakika ya 80 kipindi cha pili.
Stephen Mwantika wa Azam FC
alioneshwa kadi nyekundu dakika ya 70 baada ya kumfanyia madhambi
mchezaji wa Ndanda ndani ya eneo la hatari na mwamuzi akaamuru ipigwe
penati lakini mpigaji wa penati hiyo alipaisha mpira.
Kesho Azam inarejea jijini Dar es
Salaam wachezaji watapumzika siku ya Jumatatu, Jumanne watashuka tena
dimbani kukipiga dhidi ya JKT Ruvu kwenye uwanja wa Azam Complex
Chamazi.
No comments:
Post a Comment