Monday, September 21, 2015

Lowassa Atoa Msimamo Sakata la Richmond....Aahidi Kukomesha Unyanyasaji kwa Raia


Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), amesema utawala wa serikali yake hautanyanyasa wananchi wanaodaiwa kuwa sio raia.

No comments:

Post a Comment

Popular Posts