Thursday, August 20, 2015

HIZI HAPA NI JEZI ZA TIMU 10 GHALI ZAIDI DUNIANI


jezi2Njia moja wapo ambayo vilabu vya Ulaya vinapata pesa nyingi ni kwenye jezi za timu zao. Inawezekana kwa kupata dili kubwa la kutengeneza jezi kutoka kwenye kampuni ya uzalishaji au kutoka kwa mdhamini. Hizi hapa ni club 10 za ulaya ambazo jezi zao zinathamani kubwa sana kutokana na mikataba yao ya sasa hivi.
Note: Thamani zilizoandikwa hapa ni kwa msimu wa 2015/2016 maana yake ni kwamba pesa watakazo vuna kwa thamani ya jezi zao msimu huu ukiachana na mauzo ya jezi zenyewe.

jezi

No comments:

Post a Comment

Popular Posts