Tuesday, September 22, 2015

CHADEMA Wachangisha Milioni 97 za Kampeni...... Mbowe Asema Wako Matajiri Watano Ambao Wameapa Kukipigania Chama


Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.

No comments:

Post a Comment

Popular Posts