Timu ya Simba SC jana ilishinda
mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa kwa goli 2-0 dhidi ya timu ya URA
FC ya Uganda mechi iliyopigwa kwenye uwanja wa Taifa.
Hapa nimekuwekea picha zikionesha matukio mbalimbali wakati mcheo huo ulivyokuwa ukiendelea.
Kelvin Ndayisenga (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake goli la kwanza
Juuko Murshid (kulia) akishangilia pamoja na Ibrahim Ajibu baada ya kuifungia timu yake goli la pili
st 15 2015 ilikua siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa Simba na URA ya Uganda sababu timu hizi mbili zilikutana kwenye mechi iliyopigwa uwanja wa taifa Dar es salaam ambapo mpaka time inakatika matokeo ilikua Simba 2 – 1 URA, unaweza kutazama magoli yote ya Simba hapa chini kwenye hii video.
No comments:
Post a Comment