Baada ya jana kumpeleka kwa mkopo Tyler Blackett kwenda Celtic, Jonny Evans kwenda West Brom, leo hii imethibitishwa Adnan Januzaj amepelekwa kwa mkopo katika klabu ya Dortmund ya Ujerumani.
Wakati huo huo Manchester United leo imefanyia vipimo vya afya Mshambuliaji Anthony Martial kutoka klabu ya As Monaco ya Ufaransa.
No comments:
Post a Comment